Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MPYA ZA MREMBO JOKATE MWEGELO "KIDOTI"

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI HAPA PICHA ZA MREMBO VERA SIDIKA KABLA NA BAADA YA KUTUMIA VIPODOZI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MORO KIDS U17 WAIBUKA MABINGWA WA AIRTEL RISINGI STARS MOROGORO 2016

Wachezaji wa timu ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 (U17) ya Moro Kids Academy wakifurahi huku wakiwa na kombe la ubingwa michuano ya Airtel Risng Stars baada ya kuifunga Anglikana Academy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME ABEBA MAITI YA MKEWE KWA UMBALI WA KILOMETA 12 BAADA YA HOSPITALI...

Mwanamume mmoja maskini nchini India alibebe maiti ya mkewe kwa zaidi ya kilomita 12 baada ya hospitali alimofariki kushindwa kumsafirisha kwa gari la kuwabebea wagonjwa hadi kijiji mwake.Mke wa Dana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE KUBWA ZAIDI DUNIANI YAPATAA AJALI SIKU CHACHE BAADA YA MAJARIBIO YA...

 Ndege ndefu zaidi duniani - Airlander 10 - imeharibika baada ya kuanguka ikitua kwenye safari yake ya pili ya kufanyiwa majaribio.Ndege hiyo ya urefu wa 302ft (92m) - ambayo kwa kiasi fulani ni ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEPTEMBA MOSI !! NI KAMA UBABE VILE KATI YA CHADEMA NA JESHI LA POLISI...

Jeshi la polisi nchini limewataka wananchi kuwa watulivu na kuendelea na kazi zao bila hofu watakapoona vikosi vya jeshi vikifanya mazoezi mtaani kwa kuwa hayana lengo la kumdhuru mtu yeyote anayefuata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA IBRAHIM LIPUMBA HAPA NDIPO ALIPOLIKOLOGA NDANI YA CHAMA CHA WANANCHI...

Profesa Ibrahim Lipumba.KATIBA YA CHAMA YA 1992 (TOLEO LA 2014)UTARATIBU WA KUJIUZULU: 117. (1) Kiongozi yeyote wa chama anaweza kujiuzulu uongozi wake wakati wowote ule. (2) Kiongozi atajiuzulu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Yapambana na majambazi Mkuranga.....Difenda zaidi ya 16 Zipo Eneo la...

Mapigano makali yanaendelea kati ya polisi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi eneo la Vikindu, wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani asubuhi hii.  Magari ya polisi (defenda) zaidi ya 16 yamefika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATE KUTOKA VIKINDU: Wamekamatwa jumla ya majambazi 14 na wengi wao ni...

Inadaiwa wamekamatwa majambazi 14 na wengi wao ni askari wastaafu. Kiongozi wa wahalifu wao anadaiwa kuwa Kanali wa Jeshi mstaafu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika Mapigano na Jeshi la Polisi huko...

Majambazi ambao idadi yao haijajulikana wanadaiwa kuuwawa katika mapigano hayo kati yao na polisi huko Vikindu, wilaya ya Mkuranga leo.  Milio ya risasi na mabomu vilisikika kuanzia saa saba usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA CHAFU ZATIBUA PENZI LA AGNESS MASOGANGE

Picha chafu z i l i z o v u j a zikimuonesha Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ akiwa kihasarahasara na mwanaume anayesemekana ni msanii wa Bongo Fleva, Regnald Raymond ‘Reggy’ zimeibua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Apewa talaka baada ya kulitaja jina la msanii Chameleone wakati akifanya mapenzi

Mwanamke nchini Uganda amepewa talaka baada ya kulia jina la Chameleone wakati akishiriki mapenzi na mumewe– Chameleone ameweka kisa hicho kwenye Instagram baada ya kuchapishwa na gazeti moja la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda awafungukia walionukuu kauli yake vibaya

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amefafanua juu ya kauli yake aliyoitoa hivi karibuni ambayo imekuwa ikinukuliwa vibaya na vyombo vya habari ikiwemo gazeti la leo la Mwananchi.Kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke amkuta mumewe akishiriki ngono na mbwa wake

Mwanamke mmoja amepigwa na butwaa baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao nyumbani Spring Valley, Nairobi–Inasemekana mwanamke huyo alikuwa amezuru mashambani kupeleka watoto ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dudubaya Amfundisha Mwanaye Kuvaa Condom

Msanii Godfrey Tumaini au Dudubaya ameonesha mfano jinsi ya kuwa baba bora, kwa kuzungumza na mtoto wake kuhusu maambukizi ya magonjwa ya zinaa, na jinsi ya kujikinga na magonjwa hayo kwa kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Mwingine Auawa Kwenye Mapambano Makali na Majambazi Huko Mkuranga

Ilikuwa ni kama filamu ya askari na maadui wakati askari wa Jeshi la Polisi walipopambana na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kwenye nyumba iliyo eneo la Vikindu wilayani Mkuranga.Taarifa ambazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ Lawatoa Hofu Wananchi.......Lasema Septemba 1 Litasherehekea Miaka 52...

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) leo linaanza shamrashamra za maandalizi kuelekea siku ya maadhimisho ya 52 ya majeshi inayotarajiwa kufanyika Septemba Mosi mwaka huu kwa kufanya usafi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMENUKA..Kauli ya Paul Makonda ya Kutaka Polisi Iwapige watu Wakiwakuta...

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na matamshi ya Mhe. Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam yanayokiuka misingi ya utawala bora aliyoyatoa tarehe 25 Agosti, 2016...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya Leo Jumamosi ya Agosti 27,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi Mbalimbali wa Chadema Waendelea Kutiwa Mbaroni Kwa...

Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya maandamano yanayodaiwa yatafanywa na Chadema, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amekuwa kiongozi wa 26 wa chama hicho kukamatwa na polisi kwa tuhuma za uchochezi...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live