Baada ya kuoa mwanamke mwingine, Isabella adai ni yeye ndiye alimpiga chini...
Baada ya rapper wa kundi la Gangwe Mobb, Luteni Kalama kuoa mwanamke mwingine na kumwacha mchumba wake aliyemvisha pete, Isabella ameibuka na kudai kuwa ni yeye ndiye aliyemwacha baada ya kumuona ni...
View ArticleWaliotimuliwa UDOM Waibuka, Watishia Kuishitaki Serikali
Sakata Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limezidi kupanuka baada ya wanafunzi waliorudishwa nyumbani kupinga kuitwa vilaza.Jana wawakilishi wa wanafunzi hao ambao waliambatana na viongozi wa Mtandao wa...
View ArticleAli Kiba Akubali Kua ni Kweli Hajui Kingereza
Ni mara chache sana unakutana na msanii na anakubali kua lugha ya kiingereza inampiga chenga. Nakumbuka msanii AY alikubali kua miaka kama 13 nyuma hakua akiiongea kugha hiyo kwa ufasaha lakini baada...
View ArticleCALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION
CALL +255 658 194 194 BLOG DESIGNING (BLOG YA KISASA).............................. 60,000/= BLOG MODIFICATION (KUIBORESHA BLOG)..................... 45,000/=...
View ArticleHongera sana Elizabeth mungu aendelee kukung'arisha zaid ya hapo vipingamizi...
Bi harusi mtarajiwa kulia akiingia na mpambe wakeBi harusi MTARAJIWA Eizabeth na mume wake mtarajiwa usiku wako ulifana sanaaa Bi harusi mtarajiwa Elizabeth akitabasamu Mc Dr Cheni na bi harusi...
View ArticlePolisi Jijini Mwanza Wapambana na Majambazi kwa Saa 16, Wakamata Silaha...
Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi,wameuawa katika majibizano ya risasi na askari polisi mkoani Mwanza,alfajiri ya kuamkia jana jumapili katika mapango ya mlima wa Utemini yaliyopo kata ya...
View ArticleOmmy Dimpoz Nae atoboa Pua mwenyewe afunguka hivi
Kuna uwezekano mkubwa hii style mpya ya wasanii wa kiume kutoboa pua ikaenea kwa wasanii wengi zaidi. Ilianza kwa msanii Chid Benz ambae mara baada tu ya kuonekana katoboa pua ilikua gumzo sana sio tu...
View ArticleTAZAMA Diamond Platnumz Akicheza Kigodoro Nyumbani Kwake,Usipime
Kwa wakazi wa Dar na mikoa ya pwani mtakubaliana na mimi kua mziki aina ya kisingeli kwa sasa unakubalika sana. Kwa mfano ukikatiza mitaa mingi ya Dar lazma utakuta sehemu au ndani ya bodaboda au...
View ArticleMambo Ulikua huyafahamu Baada ya Taarifa za Chid Benz kuenea kuwa Ame toroka...
March 22, 2016 meneja wa Diamond Platnumz Babu Tale alimpeleka msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz Sober House iliyopo Bagamoyo iitwayo Life and Hope Rehabilitation...
View ArticleZari the bosslady Aamua Kumwaga Mboga..Kuwazima Wanao Sema Anavaa Vigodoro
Zari the bosslady ameamua kumwaga mboga, kutoboa sufuria na kuzima moto kwa vikurumbembe wanaomsema anavaa kigodoro kwa kupost picha inayoonesha "ze utamu" live.....
View ArticleMarekani yaipatia Tanzania dola milioni 800 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya...
Marekani itatoa dola milioni 800 kwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress aliyekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa...
View ArticleTaarifa ya Ofisi ya Spika kuthibitisha kupokea hoja ya kumuondoa madarakani...
Ofisi ya Spika imepokea taarifa ya kusudio la kuleta Bungeni Hoja ya kumwondoa madarakani Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) iliyowasilishwa na Mbunge...
View ArticleSerikali Yaondoa tozo ya uhakiki na Usajili wa Viwanda Vidogo Vidogo.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Prof Adolph Mkenda amesema kuwa serikali imeondoa tozo ya uhakiki wa viwango vya ubora na usajili katika kuanzisha viwanda vidogovidogo katika...
View ArticleHotuba ya Zitto Kabwe katika uzinduzi wa “Operesheni Linda Demokrasia Nchini”.
Ndugu Wananchi, Nawashukuru sana kwa kujitokeza kwenu kuitikia wito wetu wa kuja kutusikiliza. Tumewaita hapa ili kuwaeleza kinachoendelea katika nchi yetu hivi sasa na madhara makubwa yanayoweza...
View ArticleMsanii Diamond Atoa Msaada Wa Madawati 600 Kwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda akimpongeza Mkurugenzi wa WCB, msanii Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' mara baada ya kumtembelea ofisini kwake na kutoa mchango wake wa madawati yapatayo...
View ArticleAliyewaua wanawake 10 Marekani Ahukumiwa kunyongwa
Lonnie David Franklin Junior alipatikana na hatia mwezi uliopita Jopo la waamuzi mjini Los Angeles, limeamua kuwa mshukiwa mmoja ambaye alipatikana na hatia ya mauaji, anayefahamika kama 'Grim...
View ArticleA.K.A wa South Africa kapata dili la kuperform main Stage ya BET
Tuzo za BET ni tuzo kubwa za muziki kutoka Marekani na zenye heshima kubwa duniani, ambapo mwaka huu zitafanyika June 26 2016 Los Angeles Marekani. Kama kawaida wasanii wataperform ila good news ni...
View Article