Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Mbele ya Pesa, Mimba na Ukimwi ni Matokeo tu

Kama ulikuwa huwafamu vizuri hawa ndugu zetu, mama zetu.Usitenge muda kuwafahamu, sababu utaweza kuwa chiziPesa wananusa kama sisimizi anavyo nusa sukari ipo wapiUkiwa na pesa ya kutosha utaweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi HEWA Waziponza Benki...Benki za Dar es Salaam Zalimwa Barua...

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa siku 21 kwa benki zilizokuwa zikitumika kuweka mishahara ya watumishi hewa, kurejesha fedha hizo serikalini ; au kubainisha waliokuwa wakitumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa Aliyejitosa Zoo Aliwe na Simba Laivu Alikuwa Anadai Mwisho wa Dunia...

Inasikitisha kwakweli, ameokolewa.... na simba walioanza kumla waliuwawa. aliingia kwenye jumba la simba akavua nguo na kuwadandia badae akachenjiwa...kwenye nguo zake kimekutwa kikaratasi-suicide...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za Ubadhirifu wa Sh bilioni 1.4 za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka jana...

TUHUMA za ubadhirifu wa Sh bilioni 1.4 za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka jana, zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma, zimefikishwa kwa Taasisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM: Hatutamuadhibu Kitwanga Mara Mbili

CCM imesema kitendo cha Rais John Magufuli kumvua uwaziri Charles Kitwanga kutokana na kuingia bungeni akiwa amelewa, kimedhihirisha kuwa bado kuna baadhi ya watumishi wanaokiuka maadili ya utumishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAZIRI NA WABUNGE WAMIMINIKA KUMPA POLE KITWANGA

Wabunge mjini Dodoma wamiminika nyumbani kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Charles kitwanga ,mawaziri na wabunge wamechukua hatua ya BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Ajibu swali Lililomponza Kitwanga.....Asema Serikali Imekusudia...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yusufu amejibu upya swali lililomponza bosi wake wa zamani, Charles Kitwanga.BONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rich Mavoko ashoot video akiwa na Diamond SA, kutambulishwa WCB ‘soon’

Diamond Platnumz alimpeleka Rich Mavoko kwenda kushoot video ya wimbo wake mpya na wa kwanza akiwa chini ya Wasafi Records, imebainika.Mavoko anadaiwa kuwa ameshasaini kuwa chini ya record label hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media

Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadharani.Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu Diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA KUTOKA BUNGENI DODOMA

Mbunge wa CCM, Mhe. Mary Mwanjelwa akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Bunge Mhe Najma Murtaza Giga akiwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO ILIYOKUWA SHOW YA MWISHO YA MUZIKI KUPIGWA NA LWAMBO LUANZO MAKIADI...

On Friday, September 22nd, 1989, Franco Lwambo Makiadi gave his final performance in De Melkweg (The Milky Way) in Amsterdam. This will be twenty years ago next week. BONYEZA HAPA KUONA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA WANAOTAKIWA KUJIUNGA JKT.. NIMEKUWEKEA...

Vikosi Walivyopangiwa Vijana kwa mujibu wa Sheria 2016  Tafadhali bonyeza Hapa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alikiba Awaomba Watanzania Wampigie Kura Diamond Platnumz BET Awards

Alikiba alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusisitiza kuwa yeye kusaini mkataba na kampuni ya ‘Sony Music’ jambo kubwa sana katika maisha yake ya muziki.“Kiukweli toka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Zitto Kabwe amvisha pete mchumba wake

Mwanasiasa Zitto Kabwe Ameamua kuacha ukapela, kwenye picha akionekana kumvisha pete ya ya uchumba mchumba wake anayetarajia kumuoa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilichojiri Magazeti ya leo Tanzania Jumanne 24 mei 2016

BONYEZA HAPA KUSOMA KURASA NYINGINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jaydee Haikufaa Uimbe Uliyoimba Ndani ya Wimbo wa Ndindindi

Nijikite Madani.Bila Shaka watu wengi humu tuna mkubali sana mwanamziki Huyu nguli wa miondoko ya r n b ndani ya bongofleva. Huyu Ni kati ya wasanii wakubwa waliofungua uhusiano mzuri wa kimziki baina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tibaijuka kitanzini Tena, Atuhumiwia Kujimilikisha Shamba la Hekari 4,000

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka na Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dk Charles Mlingwa wamelipuliwa bungeni wakidaiwa  kutumia madaraka yao vibaya.Tuhuma hizo zilitolewa jana na wabunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaume Mkenya Aolewa na Mwanaume Mwenzake huko Marekani

KATIKA matukio ambayo wanaume wa Kenya wanaoana na wanaume wenzao katika nchi zinazoruhusu jambo hilo, mwanamme mmoja wa Nakuru, Kenya, amefunga ndoa na profesa wa hisabati wa Marekani.BONYEZA HAPA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani wa Misungwi Watoa Tamko Zito Kuhusu Kutumbuliwa kwa Mbunge Wao...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.​UTANGULIZINdugu Waandishi wa habari, Karibuni kwenye mkutano huu mfupi ambao lengo lake ni kutoa taarifa yetu fupi kuhusu ukweli uliojificha kuhusu kitendo kilichopelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOG HII INADHAMINIWA NA DR MNINDO +255 717 344 281 NI MTAALAMU BINGWA WA...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBEPIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live