Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE WAZIRI MAHIGA ASEMA HAYA KUHUSU MKE WAKE KUMTUKANA TRAFIKI

Amesema mke wake hakumtukana askari aitwaye Deogratias Mbando baliBONYEZA HAPA KUSOMA ZAIDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL +255 658 194 194 FOR LM I T & BUSINESS CONSULTANCY ONLINE/OFFLINE SOLUTION

PROJECT PROPOSAL ............................................................300,000/=RESEARCH PROPOSAL WRITTING.......................................250,000/=RESEARCH PAPER...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI...

LEWIS MBONDE BLOG INADHAMINIWA NA DR MNINDO NI MTAALAMU BINGWA WA TIBA ASILI NA MBADALA.ANAPATIKANA MOROGORO,MTAA WA MAFISA KARIBU NA KANISA LA KAKOBE PIGA +255 717 344 281+255 765 732 242+255 784 732...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beyonce na Jay Z Watengeneza Kiasi cha Bilioni 375 Kwa Kuwadanganya Mashabiki...

Beyonce na Jay Z waliamua kufanya uamuzi wa pamoja wa kuzusha tetesi za kuachana kwa lengo la kutengeneza pesa.Uamuzi huo ulihusisha kuuza kopi nyingi za Album mpya ya Beyonce #Lemonide yenye nyimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE:Matangazo ya moja kwa moja ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari...

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani, kutoka jijini Mwanza barmedas.tv HD bofya hapa http://www.ustream.tv/channel/barmedasonline-tv...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Afungwa Jela kwa Kosa la Kuajiri Watumishi...

MKUU wa Chuo cha Uhasibu (IAA) Njiro mkoani Arusha, Profesa Johannes Monyo amehukumiwa kifungo cha nje kwa sharti la kutofanya kosa lolote ndani ya mwaka mmoja. Hukumu hiyo ilitolewa Ijumaa iliyopita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Forget all socialites from east Africa...Meet Miss Mercedes Morr from South...

 Forget all socialites from east Africa...Meet Miss Mercedes Morr from South Africa.....see her amazing photos 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Atoa ONYO Kali kwa Wanaume Wanaowapa Mimba...

Serikali imewaagiza Maafisa maendeleo ya Jamii na maafisa ustawi wa Jamii wa wilaya,kata na mikoa nchini kuwafatilia wanaume wanaowapa ujauzito watoto wa shule na kuwafikisha Mahakamani.Akizungumza leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU HAPA MREMBO ALIYEUTIKISA MTANDAO JIONI HII

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge Watwangana Ngumi BungenIi huko Uturuki

 Wanachama wa chama tawala cha Uturuki cha AK na chama kinachoungwa mkono na Wakurdi wamepigana ngumi bunge kuhusiana na mpango kuwaondolea kinga wabunge ya kutoshitakiwa.Wabunge wakionyeshana umwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelfu Wamuaga Papa Wemba Kinshasa,Serikali Imetangaza Siku Tatu za Maombolezi

Mke wa Papa Wemba na Mtoto wao(katikati) Maelfu ya waombolezaji walijitokeza kuadhimisha misa ya wafu kwa heshima ya mwanamuziki nyota wa muziki wa Soukus na Rhumba raia wa Jamhuri ya Congo Papa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama wa Msanii Tupac Ambaye pia ni Mwanaharakati Afeni Shakur Davis Amefariki...

Mama wa msan Tupac ambaye pia ni mwanaharakati Afeni Shakur Davis amefariki duniaii katika jiji la Calfonia Nchini Marekani.Afeni Shakur amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 69.Kwa mujibu wa taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchumi wa Tanzania Waongoza Afrika Mashariki Ukifuatiwa na Kenya

Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi wake mwaka huu katika kanda ya Afrika Mashariki na kati. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la fedha la kimataifa -...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumatano ya May 4,2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idris Sultan Asema Amekoma Kuweka wazi Masuala ya Mahusiano yake ya Mapenzi

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amesema misukosuko aliyoipata baada ya kuweka wazi maisha ya mahusiano yake na maklia wa filamu, Wema Sepetu, imetosha.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga Waibuka na Ushindi dhidi ya Stand United, Tambwe Kavunja Rekodi yake

Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo Mei 3 2016 kwa klabu ya Dar es Salaam Young Africans kushuka katika uwanja wa Kambarage Shinyanga kucheza na wenyeji wao Stand United Chama la wana, huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAWI ALIYE FANIKISHA LEICESTER KUWA MABINGWA UINGEREZA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabloga Tanzania waungana kupinga taasisi za habari ‘zinazowachukulia poa’

Wenyewe wanasema ‘sasa imetosha.’ Hii ni taarifa kutoka kwa Tanzania Bloggers Network:Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN inawaomba wanachama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NICKI MINAJ Kamchagua yupi Kati ya Meek Mill na Drake? Jibu Liko Hapa

Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek Mill ambaye ni boy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather Achoma Hela Hadharani

Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambePembeni akiwa amezungukwa na warembo waki-massage massage mwili...

View Article
Browsing all 7853 articles
Browse latest View live