Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu (Duce) Auawa Kwa Kuchomwa Kisu na Mpenzi Wake
Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), jijini Dar es Salaam, Bertha Mwarabu (23), ameuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kuchomwa kisu kwenye titi na tumboni kwa kinachodaiwa ni...
View ArticleRais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mikoa 26
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara.Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu...
View ArticleSAKATA LA MATIBABU YA WAGONJWA WA SICKLE CELL (SELIMUNDU), MUHIMBILI,...
Bi.Yasmin Razak, akiwa amembeba mtoto anayeugua maradhi ya Selimundu (Sickle cell), wakati wa mkutano wa waandishi wa habari kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mama huyu ambaye mwanaye pia...
View ArticleKILICHOJILI LEO BUNGENI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sere,Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (katikati na Mwanansheria Mkuu wa Serikali, George...
View ArticleKUMBE PAPAA WEMBA ALIKUWA ANATAKA KUFARIKI AKIWA JUKWAANI
Promota wa tamasha la Papa Wemba, Salif Traore, maarufu kama A'Salfo, amesema Papa Wemba alimuambia kuwa angependa kufa akiwa jukwaani, katika maongezi yao waliyoyafanya kwa njia ya simu wiki mbili...
View ArticleNAPE ATAJA MAJIPU MANNE KATIKA SANAA NCHINI,AAHIDI KUYATUMBUA
Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisistiza kwamba...
View ArticleKilichomfanya Siwema wa Nay wa Mitego Afungwe Miaka Miwili Gerezani ni...
Wiki iliyopita zilianza kusikika taarifa mbalimbali kuhusu kuhukumiwa kwa mpenzi wa zamani na mama mtoto wa msanii Nay wa Mitego aliyehukumiwa kwenda jela miaka miwili jijini Mwanza. Pamoja na...
View ArticleDeni la Taifa Lazidi Kupaa....Lafikia Shilingi Trilion 33. 5
Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh7.05 trilioni, kutoka Sh26.49 trilioni Juni 30, 2014, hadi Sh33.54 trilioni sawa na ongezeko la asilimia 27. Kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
View ArticleRipoti ya CAG Yaanika 'Madudu' Kibao Serikalini
Wakati Rais John Magufuli akipambana dhidi ya ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi na uovu mwingine dhidi ya mali za umma, ripoti mpya ya ukaguzi iliyotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
View ArticleBLOGGER MITAA FULANI MORO TOWN WITH SHABAN KIBWANA
BLOGGER LEWIS MBONDE SELFIE WITH SHABAN KIBWANABLOGGER WA GLOBU HII LEWIS MBONDE KULIA NA SHABANI KIBWANA MITAA FLANI MORO TOWN TUNAWATAKIENI JIONI NJEMA AHSANTENI KWA KUENDELEA KUTEMBELEA BLOG YANGU
View ArticleMr Blue amtuhumu Mh Sugu Kumuibia Wimbo wa Freedom
Msanii wa Bongefleva ambaye jina lake lilianza kushine kwenye game ya muziki wa Bongofleva toka akiwa na umri mdogo Mr. Blue, amerudi kwenye headlines baada ya kupost kupitia account yake ya instagram...
View ArticleMJ Records wajibu tuhuma za Mr Blue kuhusu Wimbo Freedom wa Sugu
Mr Blue analalamika kuwa Sugu ameupora wimbo wake ‘Freedom’ aliokuwa amemshirikisha kwa kutoa verse zake na kuufanyia video iliyotoka jana.Lakini katika kila malalamiko, ni vyema kusikiliza pande zote...
View ArticleRAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA TCRA NA KUMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MKUU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Ally Yahaya Simba...
View ArticleMke wa Rais Mstaafu wa Kenya Mama Lucy Kibaki Afariki Dunia
Mke wa Rais mstaafu wa Kenya, mama Lucy Kibaki amefariki dunia . Lucy alifariki katika hospitali ya Bupa Cromwell mjini London alikokuwa amelazwa.Alisafrishwa hadi mjini Landon wiki moja iliopita...
View ArticleRais Mstaafu Benjamini Mkapa Akutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamini Mkapa akiwa na Mwenyeji wake Uhuru Kenyatta katika State House ya Kenya baada ya kukutana na kufanya mazungumzo
View ArticleNuh Mziwanda Afunguka jinsi Alikiba Alivyomliza
Star wa Bongo fleva Nuh Mziwanda amefunguka kuhusiana na ugumu wa harakati za kutaka kufanya collabo na Alikiba kwani zilitaka hadi kumliza.Akizungumza na Enews Nuh amesema kuwa ilimchukua zaidi ya...
View ArticleVICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO TANZANIA APRILI 27,2016
SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya April 27
View ArticleSina Mpango wa Kurudiana na Siwema, Namsaidia tu – Nay wa Mitego
Rapa Nay wa Mitego amefunguka na kuzungumzia nini kinaendelea baada ya kutangaza kumsaidia aliyekuwa mpenzi wake Siwema ambaye amehukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kumtukana shabiki kwenye...
View Article