Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Wanne Watiwa Mbaroni Kwa Kupiga Picha Vifaa vya JWTZ na Kuvisambaza Mitandaoni

$
0
0

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema limeanza kuchukua hatua kali kwa watu waliohusika na upigaji wa picha wa vifaa vya kijeshi na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, ambapo hadi sasa tayari watu wanne wapo chini ya ulinzi.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles