Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa wakiwa nje ya ofisi zao.
Tazama hapa kilichotokea Wizara ya fedha baada ya Rais kufanya ziara ya kushtukiza
Posted by Dar24 on Friday, November 6, 2015