$ 0 0 Tatemeko la ardhi limetokea mkoani Kagera leo mchana na kuacha wakazi wa mkoa huo katika hari ya taaruki. Kwa taarifa za mwanzo zinasema nyumba nyingi zimebomoka na hata nyingine kuachwa na nyufa. Kwa Taarifa kamili inakuijia hivi punde