Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Mchezaji wa Azam Farid Musa Aliyoko Spain Kwa Majaribio Awakosha wa Spain...Tazama Picha Hapa

$
0
0


Kinda wa Azam FC Farid Musa anaendelea kufanya vizuri kwenye majaribio nchini Hispania akiwa na Club Deportivo Tenerife inayoshiriki ligi daraja la kwanza ‘Segunda Division’.

Yusuf Bahkhesa ambaye ameambata na Farid Musa nchini humo ametoa updates za hapa na pale kuhusu yote yanayomuhusu Farid katika majaribio yake.

Kwa mujibu wa Yusuf Bahkhesa, Farid ameshafanyiwa vipimo vya afya baada ya kuwavutia viongozi wa benchi la ufundi la Tenerife linaloongonzwa na kocha mkuu wa timu hiyo  Jose Luis Mart.




Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles