Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

TIZAMA MAGOLI YA MAJI MAJI NA MBEYA CITY YALIVOPATIKANA , AMBAPO MAJI MAJI WAMEICHA MBEYA CITY 3 - 1

$
0
0
RUVUMA HABARI

Timua ya MAJIMAJI – WANALIZOMBE  imeendeleza ushindi kwa kuichapa  MBEYA CITY ya jijini MBEYA magoli matatu kwa moja. MAJIMAJI ndio waliokuwa wa kwanza kuliona lango la MBEYA CITY  dakika ya 14 kipindi cha kwanza DANNY MRUANDA akapacha goli wavuni. MBEYA CITY nao katika dakika ya 33 ya mchezo ikapata goli la kusawazisha kupitia
mchezaji wake ABDALA JUMA.Mpaka mapumziko MAJIMAJI moja na MBEYA CITY moja.




Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles