
March 13 2016 Rais John Pombe Magufuli aliwateuwa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania na baadhi ya wakuu hao ni pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda, March 15 mastaa wa bongo wameandaa party ya kumpongeza Paul Makonda kwa kuteuliuwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.

RC Paul Makonda, katikati ni steve nyerere na JB

Mboni Masimba

Single Mtambalike



Wasanii kutoka Bongo Movie

Ireen Uwoya na Ghabo

Ireen Uwoya

RC: Paul Makonda na Mrisho Mpoto

Steve Nyerere akiteta jambo na wasanii wenzanke


Mrisho Makonda


RC: Paul Makonda


Wasanii Haji na Aunt Ezekiel

RC: Paul Makonda na Aunt Ezekiel

RC: Paul Makonda na Wasanii kwenye picha ya pamoja



JB na Thea