Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

.Zitto Kabwe Atangaza Kusameheana na Freeman Mbowe...

$
0
0


Zitto Kabwe Akipeana Mikono na Mbowe
Kupitia ukurasa wake wa Facebook muda mchache uliopita, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameweka picha yake na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kuandika hivi; "Mimi binafsi siwezi kuwa mfungwa wa magomvi yetu ya miaka ya nyuma. Nilishasamehe walionikosea…Mbowe siku zote amekuwa Kiongozi wangu na siwezi kubeza nafasi yake katika kujenga demokrasia nchini. Tulipishana. Tulikoseana. Tusameheane"

Tulia utafakari, halafu tupe maoni yako

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles