MBUNGE wa Nzega Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Mohammed Bashe amejitokeza hadharani na kumtaka Waziri wa Zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuacha kulipotosha taifa kutokana kauli zake juu ya utendaji wa Rais John Magufuli.
↧