Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Hussein Bashe Amvaa Benard Membe Kwa Kumkosoa Rais Magufuli.......Amtuhumu Kutumia Safari Za Nje Kusafiri Na Hawara Zake!

$
0
0
MBUNGE  wa  Nzega Mjini kwa tiketi ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Mohammed  Bashe amejitokeza hadharani na kumtaka Waziri wa Zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuacha kulipotosha taifa kutokana kauli zake juu ya utendaji wa Rais John Magufuli.
 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles