Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Breaking News:UKAWA Washinda kiti ca Umeya Kinondoni, 16 January 2016

$
0
0


Vyama vinavyounda UKAWA vimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa Umeya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kupata kura 38 dhidi ya CCM waliopata kura 20.
Meya mpya ni Boniface Jacob. Manispaa ya ilala zoezi bado linaendelea


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles