Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Magufuli: Sijachangiwa na Mfanyabiashara Yeyote Kuingia Ikulu.

$
0
0

Rais Dk. John Magufuli, amesema hakuna mfanyabiashara aliyemchangia  kumuwezesha kuingia Ikulu katika kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, ili aweze kusimamia ipasavyo makusanyo ya kodi kwa faida ya wananchi.
 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles