Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

KILA WAZIRI ATASAINI MKATABA KABLA AJAANZA KAZI - MAGUFULI

$
0
0


Kusuasua kwa Rais John Magufuli, kutangaza Baraza la Mawaziri kunatokana na msimamo wake wa kuwachambua watu anaotarajia kuteua katika nafasi hiyo huku akiaandaa mikataba ya makubaliano itakayokuwa mwongozo kwa mawaziri hao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles