Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Rais Magufuli "Amaliza Kazi".......Baraza La Mawaziri Kutangazwa Muda Wowote Kuanzia Sasa

$
0
0

RAIS John Magufuli ambaye tangu Novemba 17, mwaka huu alikuwa katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kwa majukumu mbalimbali, amerejea Dar es Salaam jana na wakati wowote inaelezwa kwamba anaweza kutangaza Baraza la Mawaziri linalosubiriwa kwa hamu na Watanzania.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles