Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

‘Mzimu’ wa Kanuni Wamwandama Naibu Spika..Wasomi Wadai Amekiuka Kanuni za Utumishi wa Umma

$
0
0
Ushiriki wa aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson katika masuala ya siasa na hatimaye kuchaguliwa Naibu Spika wa Bunge, umezidi kuibua maswali huku akidaiwa kuwa amekiuka kanuni za watumishi wa umma.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles