
Rais John Magufuli amesisitiza uamuzi wake wa kuzifuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali akisema ni mzigo kwa Taifa.
Akizindua Bunge la Kumi na Moja jana, Rais Magufuli alisema kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, safari hizo zimeigharimu Serikali Sh356.3bilioni.