Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

RAIS MAGUFULI AAGIZA FEDHA ZILIZOCHANGWA KWA AJILI YA SHEREHE YA KUMPONGEZA ZIPELEKWE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

$
0
0

Baada ya kulihutubia na kulizindua bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI amehudhuria hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma na kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla hiyo zipelekwe Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles