Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Kifo cha Mawazo Chazua Balaa: Polisi Wapiga Mabomu ya Machozi Hospitali ya Bugando Kuwatawanya Wafuasi wa Chadema

$
0
0

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, jana lililazimka kupiga mabomu ya macho katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), kuwatawanya wafuasi wa Chadema waliokuwa wameupokea mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa kwa kukatwa mapanga.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles