Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Hali ilivyo Sehemu Mbali Mbali za Kupigia Kura..Wengi Walalamika Majina yao kutokuwepo..na Wengine Wasema Utaratibu wa Kupiga Kura Upo Slow Sana

$
0
0
Mdakuzi Wako nimetembea vituo mbali mbali maeneo ya Boko, Bunju, na Mabwepande na Wananchi Wengi walio katika vituo hivyo wamedai kuwa zoezi la upigaji linaenda taratibu sana kiasi huenda mpaka saa kumi watu wasimalize kupiga kura...pia baadhi ya wapiga kura majina yao hajaonekani ....zaidi ya hapo zoezi linaenda vizuri .....

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles