Mdakuzi Wako nimetembea vituo mbali mbali maeneo ya Boko, Bunju, na Mabwepande na Wananchi Wengi walio katika vituo hivyo wamedai kuwa zoezi la upigaji linaenda taratibu sana kiasi huenda mpaka saa kumi watu wasimalize kupiga kura...pia baadhi ya wapiga kura majina yao hajaonekani ....zaidi ya hapo zoezi linaenda vizuri .....
↧