Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

MWANAMUZIKI NEYO AANDIKA HISTORIA MWANZA

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka Marekani, Ne-Yo ameandika historia ya muziki mkoani Mwanza baada ya kufanya show ya nguvu katika tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika Jumamosi hii katika viwanja vya CCM Kirumba Mwanza.Ne-Yo akifanya yakeNe-Yo akifanya yake
Muimbaji huyo alipanda jukwaani kwa shangwe na kuanza kuimba nyimbo zake moja hadi nyingine kwa hisia hali ambayo iliibua shangwe kubwa. Pia baada ya kuimba nyimbo zake kadhaa alimwita Diamond jukwaani na kuimba naye wimbo ambao ni kolabo yao inayokuja.
Wasanii wengine ambao waliwapagawisha mashabiki ni, Diamond, Stamina, Nay wa Mitego, Mr Blue, Maua Sama, Ruby, Mo Music, Barakah Da Prince na wasanii wengine. Tazama picha.Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo,  Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka FestivalWaziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka Festival 2016.
Full shangweFull shangwe
Maua SamaMaua Sama
Mkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanzaMkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanza
Mo Music akiwa na dance wakeMo Music akiwa na dance wake
Mo MusicMo Music
Nay wa Mitego
Nay wa Mitego
Mr BlueMr Blue
Diamond akifanya yakeDiamond akifanya yake
Nay wa MitegoNay wa Mitego
RubbyRuby

Stamina
StaminaStamina
BritonyBritony
4K0A7799
4K0A7807 - Copy



Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles