
Tuzo za AFRIMMA ni tuzo ambazo zimeasisiwa na Mnigeria ambaye Marekani yamekua makazi yake kwa muda mrefu tu na tuzo hizi zimekua zikifanyika kwa mara nyingine tena ndani ya ardhi ya Obama na kuhusisha Mastaa mbalimbali wa nchi za Afrika wakiwemo Madj, Producers, video directors na hata Wasanii.