Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Pichaz 22 Namna ambavyo Mwenge Ulivyozimwa

$
0
0
October 14,1999 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliiaga dunia ambapo hii leo Watanzania wote wanaungana pamoja wakitafakari miaka 16 iliyopita na maendeleo tuliyonayo hivi sasa
Kwa kutambua umuhimu wa siku hii Rais  Jakaya Mrisho Kikwete leo katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa amezima mwenge wa uhuru katika viwanja vya Jamuhuri mkoani Dodoma
Nimekuwekea pichaz zinaoonyesha matukio yaliyotokea uwanjani Dodoma



Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles