Kuchagua chuo sometimes inakuwa kazi ngumu sana kwasababu unajikuta na maswali mengi sana baadhi yakiwa; je campus unayoitaka ina mazingira mazuri ya kusomea, usafiri wa kufika chuoni unapatikana, huduma za maduka je zipo? lakini swali kubwa kuliko lote ni, je maisha ya mwanafunzi wa kawaida chuoni hapo yakoje!?