Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Breaking News: CUF Wagoma Kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar

$
0
0

Kikao cha Baraza kuu la uongozi la chama cha Wananchi CUF kilichoketi  leo makao makuu ya Chama hicho Buguruni Dar es Salaam  na kuhudhuliwa kwa Mwaliko Maalum na Prof. Lipumba na Juma Duni Hajji kimeazimia na kutoa msimamo kuwa chama hicho hakipo tayari kushiriki uchaguzi wa marudio kama ulivyotangazwa na ZEC 

Baraza hilo la uongozi la CUF limesisitiza  kuwa uchaguzi  halali ulishafanyika na kumtaka Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Fransic Mutungi kuacha kuipendelea CCM na badala yake asimamie katiba na sheria za nchi.
==>Taarifa zaidi zinafuata. Endelea kutembelea Mpekuzi
Mpekuzi blog

Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles