Quantcast
Channel: LEWIS MBONDE BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Matokeo ya mechi ya Simba Vs Yanga yapo hapa pamoja na mechi nyingine za Ligi Kuu Sept 26 (+Pichaz)

$
0
0

Jumamosi ya September 26 ni siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki na wapenzi wa soka Tanzania, kwani ndio siku ambayo tumepata nafasi ya kuona mechi ya kihistoria ya watani wa jadi Simba dhidi ya Yanga mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
IMG_1936
Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la Amissi Tambwe upande wa mashabiki wa Simba
Kabla ya kuchezwa kwa mechi hiyo ya kihistoria ambapo klabu ya Simba ndio ilikuwa timu mwenyeji wa mchezo huo, Simba na Yanga wamewahi kukutana mara 79, lakini klabu ya Dar Es Salaam Young Africans kwa mujibu wa rekodi inaonekana kuwa mbabe kwa kuifunga Simba mara 29, huku Simba wakiwa wamewahi kuifunga Yanga mara 23 na kutoka sare mara 27. Hii ndio rekodi ambayo Simba na Yanga ziliingia uwanjani zikiwa zinaijua.
w
Golikipa wa Yanga Ali Mustapha akitoa mpira katika eneo la hatari
Mchezo umemalizika kwa klabu ya Dar Es Salaam Young Africans


Viewing all articles
Browse latest Browse all 7853

Trending Articles