Ni kutengeneza utajiri kirahisi, lakini kuhatarisha maisha ya watu.
Madaktari waliosomea sayansi ya tiba hungaika kufanya vipimo mbalimbali kuchunguza chanzo cha ugonjwa kabla ya kutoa tiba, lakini waganga wa tiba mbadala hawahangaiki; wanachunguza kwa dakika zisizozidi mbili, kupata majibu na kutoa tiba.